19 Jan
admin

Winga wa Al-Qadsiah ya Saudi Arabia, Mtanzania Simon Msuva, amesema ili mchezaji afanikiwe kwenye ligi ya nchini humo, analazimika kutumia nguvu na akili kwa wakati mmoja, vinginevyo ataishia kushangaa.Msuva alitofautisha na Morocco ambako wanatumia akili na mbinu kuhakikisha timu inapata matokeo ya ushindi na kwamba nguvu siyo kitu wanachokizingatia, wakiamini mchezaji akiwa mbunifu atafanya majukumu…

19 Jan
admin

Klabu ya Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya uchaguzi mkuu huku kampeni kwa wagombea wa uchaguzi huo zikifunguliwa rasmi juzi Jumatano lakini imeonekana kwamba kasi ya watani zao Yanga ndiyo inayowaumiza wanachama wa Simba.Katika ufunguzi wa kampeni hizo zilizofanyika Magomeni jijini Dar es Salaam wagombea wote waliojitokeza kwenye uzinduzi huo walionekana kuumizwa na mafanikio ya…

Abdallah Shaibu, anayejulikana pia kama “Ninja,” beki wa kati wa Yanga SC, alirejea baada ya mkataba wake wa mkopo na Dodoma Jiji kumalizika. Tangu wakati huo amejiunga na wachezaji wenzake kwa ajili ya mazoezi Kigamboni, Uwanja wa Avic Town jijini Dar es Salaam. Wakati timu hiyo ikifanya mazoezi ya jana uwanjani hapo, Ninja aliungana nao…

KIUNGO mpya wa klabu hiyo, Saido Ntibazonkiza, anatarajiwa kuanza kuichezea Simba SC kesho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Prisons, ingawa huenda klabu hiyo ikatoa taarifa ya mchezaji mpya iliyemnunua katika dirisha fupi lililofunguliwa. Endapo kila kitu kitaenda sawa na mipango Ntibazonki atakuwa kiungo wa timu itakayoshuka uwanjani kuwakabili Maafande wa Prisons kwa…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza Kijana Majaliwa Jackson aliyehusika kuwaokoa Watu 24 kwenye ajali ya ndege iliyotokea Bukoba siku jana atafutiwe kazi kwenye Jeshi la Uokozi. Agizo hilo lililotolewa na Rais Samia kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ambapo ameagiza Kijana Majaliwa Jackson akabidhiwe kwa Waziri wa Mambo ya Ndani…