Tetesi: Mchezaji wa PSG anatajwa kua ndio captain Mpya wa timu ya Taifa ya Ufaransa baada ya captain wa timu iyo H.Lloris kustaafu kuchezea timu ya Taifa. Chanzo @brfootball
Tetesi: Mchezaji wa PSG anatajwa kua ndio captain Mpya wa timu ya Taifa ya Ufaransa baada ya captain wa timu iyo H.Lloris kustaafu kuchezea timu ya Taifa. Chanzo @brfootball
Mechi dhidi ya US Monastir uwanja wa Mkapa Ambayo Yanga ilishinda kwa mabao mawili ndio ilikua mechi ya kwanza kwa beki kitasa kotoka Zanzibar kuanza katikati michuano ya Africa. Pia ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.
Kwa Mara Ya kwanza Tanzania yaingiza timu mbili robo fainali ya michuano ya @CAF_Online
Mchezaji Bora Round ya 4 klabu bingwa Africa, Je anaweza anaweza kua mchezaji bora round ya 5 tena baada ya kufunga goli 3 dhidi ya Horoya
Winga wa Al-Qadsiah ya Saudi Arabia, Mtanzania Simon Msuva, amesema ili mchezaji afanikiwe kwenye ligi ya nchini humo, analazimika kutumia nguvu na akili kwa wakati mmoja, vinginevyo ataishia kushangaa.Msuva alitofautisha na Morocco ambako wanatumia akili na mbinu kuhakikisha timu inapata matokeo ya ushindi na kwamba nguvu siyo kitu wanachokizingatia, wakiamini mchezaji akiwa mbunifu atafanya majukumu…
Klabu ya Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya uchaguzi mkuu huku kampeni kwa wagombea wa uchaguzi huo zikifunguliwa rasmi juzi Jumatano lakini imeonekana kwamba kasi ya watani zao Yanga ndiyo inayowaumiza wanachama wa Simba.Katika ufunguzi wa kampeni hizo zilizofanyika Magomeni jijini Dar es Salaam wagombea wote waliojitokeza kwenye uzinduzi huo walionekana kuumizwa na mafanikio ya…
Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ametangaza kuhamia Yanga Sc. Mwananchi umepokeaje ujio wa Platnumz?
Klabu ya Yanga imetoa taarifa kuwa kiungo wake Khalid Aucho raia wa Uganda amepata jeraha la mguu wake wa kushoto na atakuwa nje kwa kipindi cha wiki moja.Taarifa hiyo inakuja kufuatia tetesi kusambaa zikidai kuwa Mganda huyo amegomea kujiunga na timu kwa kile kinachodaiwa kuwa anataka alipwe pesa zake za kusaini mkataba ndani ya klabu…
Club ya Simba SC imetangaza kumsajili Jean Othos Baleke (21) kuwa mchezaji wao mpya ikiwa ni saa chache zimesalia kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili. Inaripotiwa Simba SC imemsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa miaka miwili (2025) akitokea TP Mazembe ya nchini kwao Congo DR. Baleka anatarajia kuwasili Simba SC mwanzoni mwa wiki…
Club ya Yanga SC dakika chache kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili wametangaza kumsajili beki wa kati Mamadou Doumbia (27)) Raia wa Mali, Mamadou anatokea club ya Stade Malien.