
Club ya Yanga SC dakika chache kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili wametangaza kumsajili beki wa kati Mamadou Doumbia (27)) Raia wa Mali, Mamadou anatokea club ya Stade Malien.
Club ya Yanga SC dakika chache kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili wametangaza kumsajili beki wa kati Mamadou Doumbia (27)) Raia wa Mali, Mamadou anatokea club ya Stade Malien.