19 Jan
admin

Winga wa Al-Qadsiah ya Saudi Arabia, Mtanzania Simon Msuva, amesema ili mchezaji afanikiwe kwenye ligi ya nchini humo, analazimika kutumia nguvu na akili kwa wakati mmoja, vinginevyo ataishia kushangaa.Msuva alitofautisha na Morocco ambako wanatumia akili na mbinu kuhakikisha timu inapata matokeo ya ushindi na kwamba nguvu siyo kitu wanachokizingatia, wakiamini mchezaji akiwa mbunifu atafanya majukumu…

19 Jan
admin

Klabu ya Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya uchaguzi mkuu huku kampeni kwa wagombea wa uchaguzi huo zikifunguliwa rasmi juzi Jumatano lakini imeonekana kwamba kasi ya watani zao Yanga ndiyo inayowaumiza wanachama wa Simba.Katika ufunguzi wa kampeni hizo zilizofanyika Magomeni jijini Dar es Salaam wagombea wote waliojitokeza kwenye uzinduzi huo walionekana kuumizwa na mafanikio ya…

Benjamin Mendy amepatikana hana hatia katika mashtaka saba kati ya tisa dhidi yake. Baada ya kesi iliyochukua takriban miezi mitano, beki huyo wa Manchester City amefutiwa mashtaka sita ya ubakaji na moja la unyanyasaji wa kingono. Hata hivyo, baada ya siku 13 za mashauriano katika Mahakama ya Chester Crown, mahakama imeshindwa kufikia uamuzi wa mashtaka…

04 Jan
admin

Club ya Simba SC leo imemtambulisha rasmi Kocha Mkuu mpya Raia wa Brazil Roberto Oliviera Do Carmo (62) kama Kocha wao mpya ambaye ataongeza nguvu katika kikosi chao. Roberto Oliviera ni kocha ambaye amepata umaarufu Afrika Mashariki kutokana na kujenga vyema Vipers SC ya Uganda ambao ndio waliwatoa club Bingwa Afrika msimu huu TP Mazembe.

03 Jan
admin

Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya TFF imemuita Feisal Salum “Fei Toto” baada ya Yanga kupeleka malalamiko yake ya kimkataba dhidi ya mchezaji huyo. Feisal ambaye anaripotiwa kuvunja mkataba na Yanga kwa kutumia kipengele kilichopo kwenye mkataba wake cha kuvunja mkataba kwa kurudisha Tsh milioni 112 ambazo ni pesa ya usajili na mishahara…