Abdallah Shaibu, anayejulikana pia kama “Ninja,” beki wa kati wa Yanga SC, alirejea baada ya mkataba wake wa mkopo na Dodoma Jiji kumalizika. Tangu wakati huo amejiunga na wachezaji wenzake kwa ajili ya mazoezi Kigamboni, Uwanja wa Avic Town jijini Dar es Salaam. Wakati timu hiyo ikifanya mazoezi ya jana uwanjani hapo, Ninja aliungana nao…

Haaland hayuko katika ubora wake Pep Guardiola anaamini Erling Haaland hayuko katika kiwango bora licha ya Mnorwei huyo kufunga mabao mawili katika ushindi dhidi ya Leeds Jumatano usiku. Haaland, 22, alikua mchezaji mwepesi zaidi kufunga mabao 20 kwenye Premier League, akivunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na Kevin Phillips ambaye aliisimamia katika mechi 21 tofauti na 14…

KIUNGO mpya wa klabu hiyo, Saido Ntibazonkiza, anatarajiwa kuanza kuichezea Simba SC kesho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Prisons, ingawa huenda klabu hiyo ikatoa taarifa ya mchezaji mpya iliyemnunua katika dirisha fupi lililofunguliwa. Endapo kila kitu kitaenda sawa na mipango Ntibazonki atakuwa kiungo wa timu itakayoshuka uwanjani kuwakabili Maafande wa Prisons kwa…

05 Dec
admin

Kocha Charles Boniface Mkwassa Master ameamua kujiuzulu Ruvu Shooting ambayo msemaji wake ni Masau Bwire baada ya mwenendo usioridhisha.Mkwassa ametangaza hayo kupitia Sports HQ ya EFM muda mfupi uliopita ambapo amesema anapisha jahazi hilo lichukuliwe na mwingine.Kwenye msimamo wa Ligi Kuu, Ruvu wapo nafasi ya 15 ikiwa na pointi 11, nafasi moja kutoka mkiani kunakoshikiliwa…

02 Dec
admin

Club ya Polisi Tanzania imemtangaza Kocha wa zamani wa Yanga Mwinyi Zahera kuwa Kocha Mkuu. Zahera anajiunga na Polisi baada ya kumalizana na Yanga SC ambapo amehudumu kwa vipindi viwili tofauti, Awali Zahera alikuwa kocha Mkuu wa timu (2018-2019) na baadae akarejea kama Mkurugenzi wa Maendeleo ya soka la vijana (2021-2022).