Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-BET imeinga mkataba wa miaka mitano na club ya Simba Queens wenye thamani ya Sh bilioni 1, Simba Queens kwa sasa wapo mjini Rabat, Morocco ikishiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mkurugenzi wa masoko wa M-BET Tanzania Allen Mushi alisema kuwa wameamua kuingia mkataba na timu hiyo kutokana na…