FP1: Russell akiongoza (FP1) Mercedes 1-2 huku Verstappen akikabiliwa na tatizo katika mazoezi ya kwanza ya Uholanzi  GP.

George Russell aliongoza nakuwa mbele ya Lewis Hamilton katika Mercedes 1-2 katika mazoezi ya ufunguzi wa Uholanzi Grand Prix, huku shujaa wa nyumbani Max Verstappen alisimama kwa tatizo lililo hisiwa kuwa la "Transmission".


admin
September 2, 2022

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *