Chelsea wako tayari kuidhinisha uhamisho wa mkopo wa moja kwa moja kwa mlinzi Trevoh Chalobah kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi kufungwa.
Hii nimaalum kutoka kwa timu za Premier League na pia timu za Serie A katika mechi za Uropa @chelseafc

admin
August 18, 2022

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *