Mabingwa wa Ligi Kuu ya vijana nchini Ufaransa (U-19) club ya Montpellier wakati wakisubiri kucheza mchezo wao wa nusu fainali ya Cambiasso Tournament U-20 Ijumaa ya August 29 katika uwanja Benjamin Mkapa dhidi ya KCCA ya Uganda wametembelea hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kwa ajili ya kufanya utalii na kujionea wanyama.

admin
July 30, 2022

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *